Kuna ushirikiano mkubwa kati ya mwanadamu na sauti/neno la Mungu. Sisi ni matokeo ya sauti nyingi. Kuanzia ile ya Muumba katika bustani hadi ile ya wazazi, walimu, wachungaji, na marafiki.Kuishi, kwa hiyo, ni kutafuta Sauti ya kuaminika. Sauti, iliyo bora kuliko nyingine zote kwa matokeo yake.FesPaChrist, ni kipindi chako cha kutafakari NENO la MUNGU. Kwa …









